Home » , » MAVAZI YA NUSU UCHI NA PICHA ZA NGONO MARUFUKU UGANDA

MAVAZI YA NUSU UCHI NA PICHA ZA NGONO MARUFUKU UGANDA

Written By Unknown on Jumatano, 19 Februari 2014 | 04:33



Rais Yoweri Museveni ametia saini mswada wa sheria kali dhidi ya picha za ngono ambao unapinga pia uvaaji wa mavazi yasiyo ya heshima

Sheria hiyo inatajwa kulenga kukomesha uvaaji wa nguo nusu uchi, kwa wavulana na wasichana nchini humo kama sehemu ya kuendelea utamaduni wa taifa hilo na wa kiafrika

Wanaotajwa kuguswa zaidi na sheria hiyo na ngono na mavazi ni wana mitindo, wanavuziki ambao wanatajwa kuwa vinara ya kutembea uchi hasa nyakati za maonesho ya kazi zao na wawapo katika hafla mbalimbali za kijamii

Nguo hasa yanayovaliwa na wanamziki na picha za watu wakiwa uchi. Mwandishi wetu wa Kampala Leylah Ndinda na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Wakazi wan chi ya Uganda wanaopenda kuvaa nguo fupi, zinazobana au zinazoonyesha sehemu za mwili ambazo zaweza kuwafanya watu wa jinsia nyingine kusisimka na kutamani kushiriki ngono nawe, basi jua kuwa unachungulia jela.
Share this article :
 
Shukrani kwa : Harold Dickson | Prosper Kwigize | 0752490120
Copyright © 2013. KWIGIZE NEWS AND COMMUNICATION - Haki zote zimeifadhiwa
Email us: kwigizenews@gmail.com
0764243377