HABARI MPYA
blink
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Events. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Events. Onyesha machapisho yote
10:52
HOFU YATANDA KUHUSU EBOLA MKOANI KIGOMA
Written By Unknown on Jumanne, 2 Septemba 2014 | 10:52
![]() | |||
Kanali Issa Machibya, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma |
Kutokana na kuwa jirani na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Congo, ambayo imeripotiwa kuwa na wagonjwa wanaodhaniwa kuugua Ebola, mkoa wa
Kigoma umeanza kuchukua tahadhari kuzuia ugonjwa huo usiingie Tanzania
Mkuu wa mkoa wa Kigoma kanali mstaafu Issa Machibya
amebainisha hayo wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hofu na
tahadhari hiyo baada ya serikali ya DRC na shirika la afya duniani WHO kukiri
kuwa raia kadhaa wa DRC walioambukizwa virusi vya Ebola.
Kanali machibya amebainisha kuwa kutoka katika eneo
linalohofiwa kuibuka kwa ebola nchini DRC hadi mkoani nchini Tanzania eneo la
mkoa wa Kigoma ni kiasi cha kilomita arobaini na tano pekee upande wa ziwa
Tanganyika.
Aidha amezitaka mamlaka za afya Kinga pamoja na idara za
uhamiaji kushirikiana kuhakikisha wageni wanaoingia nchini Tanzania kutoka DRC
, Burundi na Zambia kuchunguzwa kwa umakini na atakayetiliwa shaka hatua za
haraka zichukuliwe ili kuepuka maambukizi nchini Tanzania.
Naye katibu tawala mkoa wa Kigoma mhandishi John Ndunguru
amesisitiza kuwa, mkoa kwa kushirikiana na idara ya afya umeanza kutoa elimu wa
wananchi
Pamoja na maagizo hayo wananchi wanaofanya shughuli za uvuvi
na biashara katika bandari ndogo za Kibirizi na Ujiji mkoani Kigoma wameikosoa
serikali kwa kutotoa mafunzo ya kutambua dalili za ebora pamoja na namna ya
kujikinga na maambukizi.
Katibu wa chama cha wavuvi na wamiliki wa mitumbwi mkoa wa
Kigoma Bw. Muhamed Kasambo ameeleza kuwa, bandari ndogo hizo hupokea wageni
kutoka DRC na Burundi kila siku na serikali haijaweka kituo cha afya ili
kuwachunguza wageni hao
Kwa upande wake Bw. MPOROGOMYI SALUM Ambaye ni mvuvi na
msafirishaji wa bidhaa za ziwa Tanganyika kutoka Kigoma kwenda Burundi, DRC na
Zambia amesema serikali ya Tanzania inapaswa kutoa elimu kwa wananchi wake
hususani wasafirishaji katika ziwa Tanganyika ili wafahamu dalili na namna ya
kujikinga na ebola.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu katika mwalo wa Kibirizi na Ujiji hakuna matangazo yaliyofafikia wavuvi wala vipeperushi kuhusu tahadhari ya Ebola, licha ya mkuu wa mkoa wa Kigoma kanali Machibya kuagiza matangazo kufanyika.
Labels:
Events
01:00
WAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA AFARIKI DUNIA
Written By Unknown on Alhamisi, 2 Januari 2014 | 01:00
![]() |
Marehemu Dr. William Mgimwa, aliyekuwa waziri wa fedha |
Waziri wa fedha wa serikali ya Tanzania dr. William Mgimwa amefariki
dunia jana nchini afrika ya Kusini alipokuwa akitibiwa kwa muda kitambo
Taarifa kutoka Idaya ya Habari maelezo inataja kuwa serikali inafanya
utaratibu wa kuusafirisha mwili wake kutoka Pretoria Africa kusini kuja
Tanzania
Mgimwa anatajwa kusumbuliwa na maumivu ya kichwa, na inatajwa kuwa
Kipanda uso ndicho kimechogharimu uhai wake
Mungu amlaze Marehemu Mgimwa mahali pema peponi amina
Kwigize news and communication network, tunatoa pole kwa Rais Jakaya
Kikwete pamoja na Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kumpoteza waziri
mchapa kazi wa wizara nyeti ya fedha
Kufuatia kifo hicho sasa serikali ya Tanzania ina upungufu wa mawaziri
watano baada ya wengine wanne kujiuzuru kufuatia kashfa ya operesheni Tokomeza
Labels:
Events
12:23
Kampuni ya PLEN Media and Entertainment Network kwa pamoja na mtandao wa Kwigize News tunawatakia wasomaji wetu wote heri ya sikukuu ya Kuzaliwa kwa YESU Kristo Iwe siku ya amani na furaha kwenu, aidha tunawatakiwa heri na baraka tele wakati wa kuupokea na kuuishi mwaka mpya
PLEN Media and Entertainment Tunatarajia kuwa mwaka 2014 utakuwa mwaka wa mafanikio, na tunatarajia kusajili kituo kipya cha RADIO kitakachojulikana kwa jina la PLEN RADIO FM KASULU Radio hii itakuwa ni mkombozi kwa vijana, wazee na akina mama kwakuwa malengo yake yatakuwa kwa ajili ya kubadili fikra za jamii katika maendeleo
MUNGU AWE PAMOJA NASI SOTE
AMINA
SALAAM ZA NOELI NA MWAKA MPYA
Written By Unknown on Jumanne, 24 Desemba 2013 | 12:23
Kampuni ya PLEN Media and Entertainment Network kwa pamoja na mtandao wa Kwigize News tunawatakia wasomaji wetu wote heri ya sikukuu ya Kuzaliwa kwa YESU Kristo Iwe siku ya amani na furaha kwenu, aidha tunawatakiwa heri na baraka tele wakati wa kuupokea na kuuishi mwaka mpya
PLEN Media and Entertainment Tunatarajia kuwa mwaka 2014 utakuwa mwaka wa mafanikio, na tunatarajia kusajili kituo kipya cha RADIO kitakachojulikana kwa jina la PLEN RADIO FM KASULU Radio hii itakuwa ni mkombozi kwa vijana, wazee na akina mama kwakuwa malengo yake yatakuwa kwa ajili ya kubadili fikra za jamii katika maendeleo
MUNGU AWE PAMOJA NASI SOTE
AMINA
Labels:
Events
10:11
Mbunge wa Kigoam Kaskazini Zitto Kabwe amelipua kwa wananchi Mwenyekiti wake wa Taifa Freeman Mbowe kwa kukiuka taratibu na kanuni za Bunge kwa kujipatia fedha za kazi za Bunge na kisha kuzitumia kwa anasa
Hayo yametajwa na Zito Kabwe wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara mjini Kasulu akijibu hoja za kamati kuu kumvua madaraka yake ya kichama
Zitto amesisitiza kuwa viongozi wake wa chama wanajaribu kuyumbisha hoja muhimu kama vile, kuchukua fedha za bunge na kwenda kutanua, kukataa mahesabu ya chama kukaguliwa, kuchukua mashangingi na kupokea posho kinyume na makubaliano na kanuni za chama chao.
amesisitiza kuwa kamwe hata kaa kimya na kwamba ataendelea kupinga jambo lolote ambalo linaenda kinyume na maadili ya CHADEMA na hataondoka katika chama hichou licha ya kuwepo kwa shinikizo kubwa
"chama chetu tumehangaika kukijenga, sasa wapo wambao waliingia kwa hiyari CHADEMA na wapo ambao walifukuzwa CCM, au walikosa kura za Maoni CCM ndipo wakaja katika chama chetu na hao ndio wanataka wao waonekane wanakijua chama na wana uchungu nacho kuliko sisi tulioingia kwa hiyari na mapenzi yetu kwa demokrasia" alisisitiza Kabwe
Ikumbukwe kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa kabla ya kujiunga na chama hicho alikuwa mgombea wa CCM na alikimbilia huko baada ya kushindwa katika kura za maoni katika uchaguzi wa ndani ya CCM Jimbo la Karatu
ZITTO AMLIPUA MBOWE -POSHO ZA BUNGE NA MASHANGINGI
Written By Unknown on Jumapili, 22 Desemba 2013 | 10:11
Mbunge wa Kigoam Kaskazini Zitto Kabwe amelipua kwa wananchi Mwenyekiti wake wa Taifa Freeman Mbowe kwa kukiuka taratibu na kanuni za Bunge kwa kujipatia fedha za kazi za Bunge na kisha kuzitumia kwa anasa
Hayo yametajwa na Zito Kabwe wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara mjini Kasulu akijibu hoja za kamati kuu kumvua madaraka yake ya kichama
Zitto amesisitiza kuwa viongozi wake wa chama wanajaribu kuyumbisha hoja muhimu kama vile, kuchukua fedha za bunge na kwenda kutanua, kukataa mahesabu ya chama kukaguliwa, kuchukua mashangingi na kupokea posho kinyume na makubaliano na kanuni za chama chao.
amesisitiza kuwa kamwe hata kaa kimya na kwamba ataendelea kupinga jambo lolote ambalo linaenda kinyume na maadili ya CHADEMA na hataondoka katika chama hichou licha ya kuwepo kwa shinikizo kubwa
"chama chetu tumehangaika kukijenga, sasa wapo wambao waliingia kwa hiyari CHADEMA na wapo ambao walifukuzwa CCM, au walikosa kura za Maoni CCM ndipo wakaja katika chama chetu na hao ndio wanataka wao waonekane wanakijua chama na wana uchungu nacho kuliko sisi tulioingia kwa hiyari na mapenzi yetu kwa demokrasia" alisisitiza Kabwe
Ikumbukwe kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa kabla ya kujiunga na chama hicho alikuwa mgombea wa CCM na alikimbilia huko baada ya kushindwa katika kura za maoni katika uchaguzi wa ndani ya CCM Jimbo la Karatu
Labels:
Events
10:49
SANAMU YA MANDELA YATAWALA DUNIA KWA UKUBWA WAKE
Written By Unknown on Jumatatu, 16 Desemba 2013 | 10:49
Siku moja tu baada ya
mazishi ya aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi na mpigania Uhuru wa Africa kusini
Nelson Mandela, Sanamu kubwa zaidi duniani inayomuonesha akihamasisha umoja na
maridhiano imezinduliwa katika mji mkuu wa Afrika kusini Pretoria
Sanamu hiyo
iliyotengenezwa kwa shaba ina urefu wa mita tisa na ina uzani wa tani nne
unusu. Ilizinduliwa katika bustani la majengo ya bunge na inaonyesha Nelson
Mandela akihimiza umoja na maridhiano.
Sanamu hiyo yenye
mikono ya Mandela ikiwa wazi ilinuiwa kuonyesha Mandela alivyoliungaisha taifa
zima kwa mapenzi yake.
Familia ya Madiba ,
viongozi wa ANC , viongozi wa Afrika na maafisa wengine wakuu walihudhuria
mazishi hayo katika kijiji cha Qunu mkoani Cape Mashariki.
Mandela anakumbukwa
kwa juhudi zake za kupatanisha wananchi na kupigia debe msamaha miongoni mwa watu
na ndio maana leo ikawa siku iliyotengwa kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu hiyo.
Wakati wa utawala wa
wazungu, terehe 16 Disemba ilijulikana kama siku ya kuwakumbuka mashujaa wa
Afrikaners walioshinda vita dhidi ya jeshi la Zulu mwaka 1883.
Zaidi ya karne moja
baadaye mwaka 1961, Mandela alizindua jeshi lake la Umkhonto we Sizwe kupigana
dhidi ya utawala wa wazungu.
Kuanzishwa kwa jeshi
hilo la wazalendo chni ya uongozi wa Mandela kuliongeza hasira ya wazungu
kumsaka na hatimaye kumkamata na kumhukumu kifungo cha maisha jela kwa kosa la
uhaini
Labels:
Events
03:45
MANDELA AZIKWA RASMI KWA HESHIMA KUBWA
Written By Unknown on Jumapili, 15 Desemba 2013 | 03:45
![]() |
Tata Madiba (Rais wa kwanza mzaleendo wa Africa Kusini) |
Siku kumi tangu alipofariki dunia, hatimaye Rais wa kwanza wa
afrika kusini Nelson Mandela amezikwa leo katika makaburi ya fanilia katika
kijiji cha Qunu nchini humu huku akiacha hofu kwa wageni wanaoishi nchini humo
Mandela anayeitwa na raia wan chi hiyo kwa jina la TATA
Madiba amezika mapema leoo majira ya mchana na viongozi mbalimbali wan chi za
kiafrika, Mashariki, Ulaya na Amerika wamehudhuria mazishi hayo
Wageni maarufu kama walowezi wanahofu kuwa huenda kuondoka kwa mandela kukaibua hoja za kuwataka wageni wanaoishi nchini humo kuanza kunyanyaswa, kitendo ambacho mandela hakuwa akikubaliana nacho
Hata hivyo waombolezaji kutoka mataifa mbalimbali ambao
walikuwa wakifuatilia runinga ili kushiriki mazishi kwa njia ya picha
hawakuweza kuliona jeneza kutokana na kamera kutoonesha kinachoendelea ndani ya
kaburi
Sambamba na mazishi hayo mizinga 21 imepigwa angani kama
ishara ya heshima kwa Baba wa taifa hilo ambaye alisota jela miaka 27 kufuatia
harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi uliokuwaukisimamiwa na serikali ya
makabulu
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amekuwa kivutio katika
mazishi hayo pale alipopigiwa makofi mara kadhaa wakati akihhutubia
waombolezaji na kutaja kuwa Mandela na raia wa afrika kusini ni ndugu na kwamba
Tanzania ilishiriki kwa asilimia mia moja kutetea waafrika na kuleta Uhuru wa
nchi hiyo
Katika kupigania uhuru wa nchi mbalimbali za Africa Tanzania
ilitoa ardhi na mafunzo ya kisiasa na kijeshi kwa wapigania uhuru wan chi mbalimbali
akiwemo Nelson Mandela, Joachim Chisano, Samora Machel na wengine wengi kutoka
nchi za Malawi, Zimbabwe, Namibia
Labels:
Events
07:09
MANDALA'S BODY ARRIVES IN HIS VILLAGE
Written By Unknown on Jumamosi, 14 Desemba 2013 | 07:09
The body of Nelson Mandela has arrived at his ancestral home village of Qunu in South Africa's Eastern Cape ahead of the anti-apartheid icon's state funeral that will take place on Sunday. The coffin carrying the remains of South Africa's first black president was driven in a hearse from Mthatha airport, 700 km (450 miles) south of Johannesburg after it arrived in a military plane. It was given a ceremonial military escort and cheered by crowds lining parts of the road as it made its way to the village where he grew up. Mandela, whose coffin was draped with the national flag, will be laid to rest in a private affair barred to the public and the media. The journey to the small village started on Saturday shortly after the governing ANC paid its last respects to the man who led it to power, becoming the country's first black president after a long and painful struggle against racist, white-minority rule. Al Jazeera's Haru Mutasa, reporting from East Cape, said many people in the province viewed Mandela, who rose from a humble background to lead Africa's most powerful nation, as a "source of inspiration" and were eagerly awaiting the arrival of his coffin. In a keynote address delivered in Pretoria in honour of Mandela, President Jacob Zuma hailed Madiba, the clan name by which the Nobel laureate was known, as a "man of action". "Since the day our leader passed on, we have remembered him in a very special way. We have received messages of condolences from around the world," Zuma said. He said Mandela, who joined the ANC in his early 20s, was able to "combine theory and practice", making it easy for him to practise what he preached. Earlier, Mandela's grandson, Mandla, gave a speech about the former president's long struggle for freedom. Mandela, who was battling a chronic lung infection for months, died last Thursday at the age of 95. On Sunday, some 5,000 people, including foreign dignitaries, are expected to participate in a formal, two-hour ceremony beginning at 8am (0600 GMT). The funeral procession from the airport to Qunu will be led by the armed forces and Mandela will receive a 21-gun salute and a flyover by the South African Air Force. Saying goodbye Since his death at his Johannesburg home on December 5, South Africans have turned out in pouring rain and blistering sunshine to say goodbye to the man they viewed as a liberator. Tens of thousands packed a soaked stadium in Soweto for a memorial service on Tuesday, which was attended by more than 70 world leaders. Up to 100,000 people filed past Mandela's open-casket for the three days it was displayed at the Union Buildings in Pretoria, the seat of government where he was inaugurated two decades earlier.
Mandela was jailed for 27 years on Robben Island by the white-minority racist regime which he opposed, emerging from prison in 1990 and becoming president after the country's first multi-racial elections in 1994. A year before he was elected president, he won the Nobel Peace Prize along with FW de Clerk, South Africa's last apartheid-era president who helped negotiate the end of racial segregation with Mandela. Around 3,000 members of the media have already descended on Qunu where a special stage and marquee have been erected for the invited guests, who include Britain's Prince Charles. The funeral will be held according to traditional Xhosa rites overseen by male members of Mandela's clan. The slaughtering of an animal - a ritual performed through various milestones of a person's life - will form a crucial part of the event. During the ceremony, Mandela will be referred to as Dalibhunga, the name given to him at the age of 16 as he entered adulthood. Although Mandela never publicly declared his religious denomination, his family comes from a Methodist background. | |||
Source:
Al Jazeera
| |||
Labels:
Events
07:57

GAZETI LA MWANANCHI 30, NOV
Written By Unknown on Jumamosi, 30 Novemba 2013 | 07:57

HABARI KUU
Mishahara ya vigogo ‘hailingani na ufanisi’
Posted 15 hours ago
Ripoti mpya ya utafiti imebainisha kuwa mishahara mikubwa wanayolipwa viongozi wa juu serikalini na wanasiasa hailingani na utendaji wao wa kazi....
Toa Maoni
KITAIFA

Uwekezaji: Gesi, madini juu, kilimo chaanguka
Posted 14 hours ago
Taarifa ya Uwekezaji Tanzania mwaka 2012 imetaja kuporomoka kwa kilimo huku madini na nishati zikiongezeka kwa kiasi kikubwa....
KITAIFA

Ushahidi wa umiliki Ziwa Nyasa watolewa
Posted 14 hours ago
Wasuluhishi wanazitaka Malawi na Tanzania kutoa majibu ya maswali manne muhimu wakati wakiwasilisha ushahidi wao kuhusu umiliki...
KITAIFA

Sarafu moja EAC kujadiliwa leo
Posted 14 hours ago
Wakuu wa Nchi Tano Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), leo Novemba 30, wanatarajiwa kutia saini mkataba wa kuwa na...
- Uchaguzi mkuu wa BFT leo
- Mzungu wa Simba kutua kesho
- Poulsen: Uwanja ulituangusha
- Eritrea yatumia ‘Mapro’
- Nyasi za uwanja zazidiwa
- Zanzibar Kanyaga twende
- Nyota watano kuondoka Yanga
- Mfumo sahihi wa kuendeleza vipaji unahitajika
- Elimu kikwazo kwa wajasiriamali nchini
- Mashirika yalia uharibifu wa mazingira

Labels:
Events