HABARI MPYA
blink

FREEDOM OF PRESS IN TANZANIA AND PEACE IN DENGER ZONE

Written By Unknown on Jumanne, 9 Julai 2013 | 10:59




 


Tanzania is blessed country due to so many aspect compare to many African countries as well as western, Asia and American countries, journalists is one of professional group who being used to announce this story over the world, but their now hunted innocently


Sometimes Tanzania it’s called Peace Island in the world, this name came because of Tanzanian life style, hospitality, political and security situation, natural wealth especially forest, hills, mountain, minerals water and land



In few days ago Tanzania has observed lot of criminal events that shows that our good image is going to be changed from Peace Island to country of conflict



I believe that everyone know what is happen in Iringa last year, whereby one Journalist late Mwangosi were killed when he was in his duty of making Political coverage, we know what was happen too Mr. Kibanda the Editors Forum Chairman



Either we know also what happened In Mtwara, whereby journalist were hunted by civilians who managed also to burnt journalist houses , this is aspect show that now Tanzania has forgetern where we come from, where we are and where we want to go



Let us see in picture what Media Council of Tanzania decided was, to prevent ournalists at Job, in above Picture is Journalist at work, while below are one of Mtwara journalist granted a jacket which will be used by them to address the Mtwara community to understand that journalist is friend to them and ignore the perceptions of treating them as enemy  

 



 

 



Either below are picture show the Media council of Tanzania inauguration the book of journalism curriculum, this book will be used by media institution and journalism schools to teach journalist  

 

GAIRO KITUO KIKUU CHA MABASI KANDA YA KATI, ZIWA NA MAGHARIBI

Baadhi ya mabasi yakiwa katika kituo cha Gairo nje kidogo ya mji wa Gairo kwa ajili ya mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na safari ndefu kuelekea kanda ya kati, magharibi, kanda ya ziwa na nje ya nchi. Picha na. Prosper Kwigize

Kwa msafiri yeyote aliyewahi kusafiri kutoka Kigoma, Mara, Mwanza, Kagera na hata nchi jirani hataacha kamwe kuifahamu GAIRO,

Gairo ni wilaya Mpya katika mkoa wa Morogoro, wilaya ambayo inazungukwa na wakulima wa mazao mbalimbali ikiwemo vitunguu, nyanya. alizeti na miwa

Katika ukurasa huu, ninakusudia kuzungumza au kukushirikisha kuhusu kituo cha basi na hoteli ya Gairo ambapo maelfu ya wasafiri hupita na kupata ama chai, chakula cha mchana na usiku

Ukifika Gairo hutashangaa kuona purukushani za wasafiri kusaka mlo, na wengine kutafuta mahala pa kusitili miili yao kwa huduma za vyoo.

Hakika Gairo ni kituo kikubwa ambacho kila mtu awapo njiani safarini kwenda Mbeya, morogoro, Dar es Salaam, Mtwara na hata Zanzibar, hulazimika kupumzika hapo kwa dakika chache ili kudhibiti njaa

"Jamani abiria wetu, Hapa ni GAIRO, tutapumzika kwa dakika kumi tu kwa ajilii ya chakula na kuchimba dawa" Ni kauli ya kondakta ambaye mara tuu gari linaposimama yeye hutangulia kwa kazi moja tu kupata chakula, kuchimba dawa na wakati mwingine kutafuta abiria wapya.



Kinachonisukuma kuzungumzia kituo hiki muhimu kwa wasafiri wa ndani na nje ya Tanzania si uzuri wa madhari, majengo mazuri ya kitalii, huduma ya uhakika ya maji na chakula bali pia ni idadi kubwa ya mabasi na wasafiri ambao hupita na kujikimu

pamoja na hayo ninashawishika kuhoji, je halmashauri ya GAIRO kwaoo hichi ni chanzo cha mapato? kama ndiyo ni nani anawajibika kukusanya ushuru wa biashara zinazofanyika hapo pamoja na ushuru wa maegesho kwa magari yanayosimama na kupata huduma hapo, au ni kazi ya mmliki wa hoteli hiyo nzuri?

lakini pia tujiulize vyakula vinavyouzwa hapoo vina ubora uliohakikiwa na wataalamu wa idara ya afya ili kumhakikishia mlaji usalama wake?



Nasema hivyo kwa sababu, baadhi ya abiria siku hizi wakifika Gairoo wanashuka na kuchimba dawa tu (haja ndogo) na hawajishughulishi hata kidogo na kugombania masahani katika hotel hiyo, ukiuliza je! wao hawana njaa? majibu mepesi watakujibu "Usalama wa vyakula vya hapa ni mdogo sana, na isitoshe vikilala wanachanganya na vipya, ilimradi tu wasipate hasara"

Je Kauli hii anaifahamu mmliki wa Hteli hiyo muhimu kwetu wasafiri kutoka nje ya pwani? kama hajui basi mtandao huu wa www.kwigizenews.com, unamuasa kuchunguza usalama na uadilifu wa wauza vyakula ambao sina shaka wengi wao ni wapangaji

Hongera, kwa kuwajari wasafiri.

GAIRO KITUO MKOMBOZI KWA WASAFIRI KOTE TANZANIA


VYANDARUA VYAGEUZWA KUWA VIFUNGASHIO




Wakati serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wahisani wakipambana na tatizo la maralia nchin, baadhi ya wakazi wa manspaa ya Singida wanatumia vyandarua kama vifungashio vya machupa chakavu ya plastiki

Uchunguzi uliofanywa na standard radio katika vitongoji vya mji manspaa ya Singida, umebaini kuwapo kwa shehena kubwa ya machupa na vifaa vingine vya plastiki vilivyofungashwa ndani ya vyangarua katika eneo la msalaba mrefu mjini Singida 

Wakazi wa eneo hilo lililoko jirani na kanisa la kiinjili la kiruteli Tanzania KKKT licha ya kushuhudia kero hiyo ya matumizi kinyume ya vyandarua, hawakuwa tayari kumtaja mhusika wa biashara hiyo

Serikali ya Tanzania kwa msaada wa serikali ya marekani imekuwa ikisambaza vyandarua kwa kila nyumba nchini ili kuhakikisha watanzania hususani wanawake wajawazito na watoto wanaepuka ugonjwa wa maralia

Mwezi Novemba mwaka 2012 waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda alizindua kampeni maalum ya kudhibiti maralia

Inakadiriwa takribani watu milioni  10 hadi milioni 12 wanaugua malaria kila mwaka, na malaria husababisha  vifo vya watu kati ya 100,000 hadi 300,000 kila mwaka. Aidha zaidi ya asilimia 40 ya wagonjwa wanaohudhuria katika vituo vya kutolea huduma za afya wanasumbuliwa na ugonjwa wa malaria.
 
Shukrani kwa : Harold Dickson | Prosper Kwigize | 0752490120
Copyright © 2013. KWIGIZE NEWS AND COMMUNICATION - Haki zote zimeifadhiwa
Email us: kwigizenews@gmail.com
0764243377