Home » » WEMA SEPETU KUMVAA MRISHO NGASA LEO UWANJA WA TAIFA

WEMA SEPETU KUMVAA MRISHO NGASA LEO UWANJA WA TAIFA

Written By Unknown on Jumamosi, 19 Aprili 2014 | 06:55

http://kwigizenews.blogspot.nl/2014/04/wema-sepetu-kumvaa-mrisho-ngasa-leo.html


Katika hali inayovuta hisia za wengi, leo msanii maarufu ambaye pia amewahi kuwa miss Tanzania ametangaza kumfuata Mchezaji maarufu anayetajwa kuhama timu za Bongo kuliko wengine Mrisho Ngasa uwajani

Akiongea na vyombo vya habari Wema ametaja kuwa hana tabia ya kwenda kutazama mechi lakini leo atashuhudia mtanange baiana ya Simba na yanga ili baada ya mechi akutane na ngasa na kudai deni lake


Waswahili wanasema, “Ahadi ni Deni”, Wema anataja kuwa anamdai Ngassa ahadi ya mpira.

Share this article :
 
Shukrani kwa : Harold Dickson | Prosper Kwigize | 0752490120
Copyright © 2013. KWIGIZE NEWS AND COMMUNICATION - Haki zote zimeifadhiwa
Email us: kwigizenews@gmail.com
0764243377