![]() |
Mzee Ngurumo enzi za uhai wake akipokea ufuguo wa Gari kutoka kwa Manamuziki Diamond mara alipotangaza kustaafu muziki na kuhitaji misaada kutoka kwa waungwana ili kumudu maisha. |
KWIGIZE NEWS .COM Tunatoa pole kwa wanafamilia ya mwanamuziki nguli wa Tanzania marehemu Mzee Maalim Ngurumo kilichotokea jana katika Hospitali ya Taifa mhimbili alikokuwa amelazwa. kwa kumuenzi blog yetu imeweka wimbo (mtanikumbuka) ambao waliutunga na kuimba pamoja na Marehemu TX Moshi, hii ni moja ya kutoa pole kwa Watanzania. bonyeza hapa kutazama video