Home » » TAJIRI ATOA MABILIONI KUDHIBITI SILAHA

TAJIRI ATOA MABILIONI KUDHIBITI SILAHA

Written By Unknown on Jumatano, 16 Aprili 2014 | 06:38


Meya mstaafu wa Jiji la New York City nchini Marekani Michael Bloomberg ametangaza kutoa dola milioni 50 mwaka huu kwa ajili ya kujanga mtandao wa  kupunguza kuzagaa na matumizi ya silaha katika uharifu
Mkakati huo mpya ameutangaza katika gazeti la The New York Times, fedha hizo zitatumika katika kuhakiki kwa kina biashara ya silaha katika serikali na nchi kwa ujumla
Amesisitiza kuwa kipaumbele katika uhakiki na udhibiti wa silaha kitaelekezwa kwa wanawake katika mpango mkakati wa nje wa udhibiti wa silaha, na kwamba taasisi mbalimbali zitahusika
Imeelezwa kuwa mkakati huo utawavutia zaidi ya waungaji mkono milioni mbili na laki tano kuchangia
Soma zaidi hapa 
Share this article :
 
Shukrani kwa : Harold Dickson | Prosper Kwigize | 0752490120
Copyright © 2013. KWIGIZE NEWS AND COMMUNICATION - Haki zote zimeifadhiwa
Email us: kwigizenews@gmail.com
0764243377