HABARI MPYA
blink
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tangaza. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tangaza. Onyesha machapisho yote

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI

Written By Unknown on Jumatano, 17 Septemba 2014 | 07:13



MPANDA RADIO FM
Jengo la Kituo cha Matangazo cha Mpanda Radio FM 97.0 MHz mkoani Katavi

Iliyoko mjini Mpanda Mkoani Katavi, inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye elimu, taaluma na kipaji cha uandishi wa habari na utangazaji. Muombaji anatakiwa awe na uzoefu wa angalau miaka miwili kazini.
Anayependa kufanya kazi Mpanda Radio atume maombi na wasifu wake akiambatanisha na nakala ya kazi (word and voice clips 2) alizofanya ndani ya mwezi mmoja uliopita.
Maombi yatumwe kwa emaili manager.mpandafm@gmail.com

HOJA YA MUUNGANO NA IDADI YA SERIKALI TANZANIA

Written By Unknown on Jumanne, 15 Aprili 2014 | 13:22


Je! marumbano yanayoendelea Bungeni ya juu ya mfumo wa Muungano na idadi ya serikali yanalenga kuwezesha vyama vya upinzani kushinda na kutawala Tanganyika?

Na je Bunge kutekwa na Muungano na idadi ya serikali, Je rasimu ya pili ya Katiba haina hoja nyingine zaidi ya hizo?

Tafadhari piga kura yako, chagua jibu upendalo katika hukurasa huu sehemu ya chini kulia
 
Shukrani kwa : Harold Dickson | Prosper Kwigize | 0752490120
Copyright © 2013. KWIGIZE NEWS AND COMMUNICATION - Haki zote zimeifadhiwa
Email us: kwigizenews@gmail.com
0764243377