HABARI MPYA
blink
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tangaza. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tangaza. Onyesha machapisho yote
07:13
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI
Written By Unknown on Jumatano, 17 Septemba 2014 | 07:13
MPANDA RADIO
FM
| Jengo la Kituo cha Matangazo cha Mpanda Radio FM 97.0 MHz mkoani Katavi |
Iliyoko mjini Mpanda Mkoani Katavi,
inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye elimu, taaluma na kipaji cha
uandishi wa habari na utangazaji. Muombaji anatakiwa awe na uzoefu wa angalau
miaka miwili kazini.
Anayependa kufanya kazi Mpanda Radio
atume maombi na wasifu wake akiambatanisha na nakala ya kazi (word and voice
clips 2) alizofanya ndani ya mwezi mmoja uliopita.
Maombi yatumwe kwa emaili
manager.mpandafm@gmail.com
13:22
Je! marumbano yanayoendelea Bungeni ya juu ya mfumo wa Muungano na idadi ya serikali yanalenga kuwezesha vyama vya upinzani kushinda na kutawala Tanganyika?
Na je Bunge kutekwa na Muungano na idadi ya serikali, Je rasimu ya pili ya Katiba haina hoja nyingine zaidi ya hizo?
Tafadhari piga kura yako, chagua jibu upendalo katika hukurasa huu sehemu ya chini kulia
HOJA YA MUUNGANO NA IDADI YA SERIKALI TANZANIA
Written By Unknown on Jumanne, 15 Aprili 2014 | 13:22
Je! marumbano yanayoendelea Bungeni ya juu ya mfumo wa Muungano na idadi ya serikali yanalenga kuwezesha vyama vya upinzani kushinda na kutawala Tanganyika?
Na je Bunge kutekwa na Muungano na idadi ya serikali, Je rasimu ya pili ya Katiba haina hoja nyingine zaidi ya hizo?
Tafadhari piga kura yako, chagua jibu upendalo katika hukurasa huu sehemu ya chini kulia
Labels:
News in picture,
Tangaza

