NEC CCM YAMALIZIKA KWA AMANI
Written By Unknown on Jumatatu, 17 Februari 2014 | 06:16
Licha ya watu wengi kuhofia kuwa, halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi iliyoketi jana mjini Dodoma kuwa kungekuwa na sintofahamu, wakubwa hao wamemaliza kikao chao kwa amani na mikakati ya maendeleo
Baadhi ya kurasa za mitandao ziliibuka na vichwa vya habari ambavyo vilihofisha kuwepo kwa mgawanyiko au kufukuzwa kwa baadhi ya wanachama, lakini jambo hilo halikuwepo
Kikao cha halmashauri kuu kilitanguliwa na vikao vingine vya uongozi wa chama kikiwemo cha maadili kilichowakutanisha wana CCM wanaotajwa kuwa na nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wengi wa wasomaji na wachangiaji katika mitandao walikuwa wakihofia kuwa huenda kukawa na kufukuzana ndani ya chama au baadhi yao kupigwa marufuku kugombea.
Related Articles
- MADAI YA POSHO BUNGE LA KATIBA YAKONGA MWAMBA
- MBUNGE WA NZEGA -CCM ATOA TAMKO KUHUSU BUNGE LA KATIBA
- HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
- KIONGOZI WA CHADEMA ASHAMBULIWA NA KUJERUHIWA KIGOMA
- HOTUBA YA RAIS KIKWETE NA JAJI WARIOBA -BUNGE LA KATIBA
- BUNGENI HALI BADO TETE MMAMUZI YA SERIKALI NGAPI - VIDEO HAPA
Labels:
siasa
Chapisha Maoni