HABARI MPYA
blink
11:50
Nelson Mandela was a singular figure on the global stage -- a man of quiet dignity and towering achievement, a giant for justice and a down-to-earth human inspiration.
I am profoundly saddened by his passing. On behalf of the United Nations, I extend my deepest condolences to the people of South Africa and especially to Nelson Mandela’s family and loved ones.
Many around the world were greatly influenced by his selfless struggle for human dignity, equality and freedom. He touched our lives in deeply personal ways. At the same time, no one did more in our time to advance the values and aspirations of the United Nations.
Nelson Mandela devoted his life to the service of his people and humanity, and he did so at great personal sacrifice. His principled stance and the moral force that underpinned it were decisive in dismantling the system of apartheid.
Remarkably, he emerged from 27 years of detention without rancor, determined to build a new South Africa based on dialogue and understanding. The Truth and Reconciliation Commission established under his leadership remains a model for achieving justice in societies confronting a legacy of human rights abuses.
In the decades-long fight against apartheid, the United Nations stood side-by-side with Nelson Mandela and all those in South Africa who faced unrelenting racism and discrimination. His 1994 address to the General Assembly as the first democratically elected President of a free South Africa was a defining moment. The Assembly has declared 18 July, his birthday, “Nelson Mandela International Day”, an annual observance on which we recognize and seek to build on his contributions to promoting a culture of peace and freedom around the world.
I was privileged to meet Nelson Mandela in 2009. When I thanked him for his life’s work, he insisted the credit belonged to others. I was very moved by his selflessness and deep sense of shared purpose.
Nelson Mandela showed what is possible for our world and within each one of us -- if we believe, dream and work together.
Let us continue each day to be inspired by his lifelong example and his call to never cease working for a better and more just world.
New York, 5 December 2013
SECRETARY-GENERAL’S STATEMENT ON THE DEATH OF NELSON MANDELA
Written By Unknown on Jumamosi, 7 Desemba 2013 | 11:50
![]() |
UN Secretary General Ban Ki Moon |
Nelson Mandela was a singular figure on the global stage -- a man of quiet dignity and towering achievement, a giant for justice and a down-to-earth human inspiration.
I am profoundly saddened by his passing. On behalf of the United Nations, I extend my deepest condolences to the people of South Africa and especially to Nelson Mandela’s family and loved ones.
Many around the world were greatly influenced by his selfless struggle for human dignity, equality and freedom. He touched our lives in deeply personal ways. At the same time, no one did more in our time to advance the values and aspirations of the United Nations.
Nelson Mandela devoted his life to the service of his people and humanity, and he did so at great personal sacrifice. His principled stance and the moral force that underpinned it were decisive in dismantling the system of apartheid.
Remarkably, he emerged from 27 years of detention without rancor, determined to build a new South Africa based on dialogue and understanding. The Truth and Reconciliation Commission established under his leadership remains a model for achieving justice in societies confronting a legacy of human rights abuses.
In the decades-long fight against apartheid, the United Nations stood side-by-side with Nelson Mandela and all those in South Africa who faced unrelenting racism and discrimination. His 1994 address to the General Assembly as the first democratically elected President of a free South Africa was a defining moment. The Assembly has declared 18 July, his birthday, “Nelson Mandela International Day”, an annual observance on which we recognize and seek to build on his contributions to promoting a culture of peace and freedom around the world.
I was privileged to meet Nelson Mandela in 2009. When I thanked him for his life’s work, he insisted the credit belonged to others. I was very moved by his selflessness and deep sense of shared purpose.
Nelson Mandela showed what is possible for our world and within each one of us -- if we believe, dream and work together.
Let us continue each day to be inspired by his lifelong example and his call to never cease working for a better and more just world.
New York, 5 December 2013
11:34
MAANDAMANO MAKUBWA KIGOMA KUPINGA ZIARA YA DR. SLAA MKOANI HUMO
![]() |
Polisi wakipiga doria kulinda waandamanaji ilikusitokee vurugu au uvunjaji wa amani katika manspaa ya Kigoma ujiji (picha kwa hisani ya Hamis full migebuka -Kigoma) |
Mamia ya wakazi wa mji wa Kigoma na vitongoji vyake leo
wameandamana katika mitaa mbalimbali pamoja na kuchoma bendera na kadi za chama
cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kupina ziara ya katibu mkuu wa chama hicho
Dr. wilborad Slaa
Hatua hiyo ya maandamano ni ya pili kufanyika mjini Kigoma
hususani katika jimbo la Kigoma Kaskazini kwa kile kinachotajwa kuwa ni kupinga
kuvuliwa uongozi mbunge wa Kigoma kaskazini Zitto Kabwe
Imeelezwa kuwa maandamano hayo yanasisitiza kutokukubaliana
na uamuzi wa kamati kuu ya CHADEMA kumuondoa Zito katika nafasi ya Naibu katibu
mkuu na naibu kiongozi wa upinzani Bungeni
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. wilbroad Slaa yuko Mkoani Kigoma
tangu juzi na amekuwa akikumbwa na dhahama la mabango na kuzomea katika maeneo
aliyokwenda kuhutubia
Aidha katika hali ya kushangaza, leo amehutubia katika maeneo
ya vijijini na kuruka maeneo yenye watu wengi katika wilaya ya Kasulu ingawa
imeelezwa kuwa jumapili ndipo atahutubia mjini Kasulu
Vuguvugu la kupinga ziara hiyo bado linadhihirisha miongoni
mwa wafuasi cha chama hicho ikiwa ni pamoja na Baraza la Vijana la Chadema
BAVICHA ambao inaelezwa kuwa wamejiandaa kufanya vurugu, kuzomea na kumunyoshea
mabango Dr. Slaa
10:50
KIGOMA WADHAMIRIA KUMWANDIKIA BARUA RAIS KIKWETE
![]() |
Barabara mpya ya Lami inayounganisha Tanzania na nchi ya Burundi kutokea mjii Kigoma |
Mkoa wa Kigoma umeazimia kumwandikia Barua ya pongezi na
shukurani Rais Jakaya Kikwete kwa kuwezesha mkoa huo kupata barabara za lami
zinazotarajiwa kuunganisha mkoa huo na mikoa mingine ya Tanzania pamoja na nchi
za jirani
Azimio hilo limefikiwa wiki hii mjini Kigoma wakati wa kikao
cha Bodi ya Barabara baada ya wajumbe wa Bodi hiyo kubaini kuwa serikali ya
awamu ya nne imedhamiria kuufingua mkoa huo kwa njia ya kujenga na kuimarisha
miundombinu hususani barabara
Akitoa tamko hilo la dhamira ya kumshukuru Rais Mkuu wa mkoa
wa Kigoma ambaye pia ni mwenyekiti wa Bodi ya barabara mkoani humo kanali
Mstaafu Issa Machibya amebainisha kuwa serikali imeonesha dhamira ya kuimarisha
miundombinu ili kupanua uchumi wa mkoa na taifa
Kwa upande wake meneja wa Tanroads mkoa wa Kigoma mhandisi
Narcis Choma amebainisha kuwa kwa sasa mkoa wa Kigoma una kiasi cha kilomita 1,205.38
za barabara zote katika mkoa mzima
Mhandisi Choma amefafanua kuwa katika urefu wa barabara hizo
ni kilomita 182.54 pekee ndizo zimejengwa kwa kiwango cha lami wakati kilimita
1,040.44 ni za changarawe na udongo.
Aidha katika kikao hicho, wenyeviti wa halmashauri za wilaya
za Kakonko na Kasulu Bw. Juma Maganga na William Luturi wamempongeza meneja wa
TANROADS Kigoma kwa utendaji mzuri wa kazi za ufuatiliaji na usimamizi wa
ujenzi wa Barabara
Hata hivyo wenyeviti hao wameiomba serikali kuwekeza katika
ujenzi wa barabara kuu ya kutoka Kidahwe hadi Nyakanazi na kusisitiza kuwa
pamoja na kurahisisha mawasiliano, barabara hiyo ndiyo inayohusika na uchumi wa
wanakigoma tofauti na ile inayojengwa kutoka Kigoma kwenda Tabora ambako sehemu
kubwa ya eneo hilo ni msiti wa hifadhi
Wamesisitiza kuwa barabara ya Kigoma, Kasulu, Kibondo,
Kakonko hadi Nyakanazi ndiyo barabara muhimu kwa uchumi wa mkoa wa Kigoma
kutoka na kile kinachotajwa kuwa inapita katika makazi ya watu na eneo la soko
la mazao ya mashambani.
04:22
NELSON MANDELA AAGA DUNIA
Written By Unknown on Ijumaa, 6 Desemba 2013 | 04:22
Kuanzia
alfajiri ya leo December 06 2013, bendera ya taifa Tanzania pamoja nay a chama
cha mapinduzi kinachotawala serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
zinapepea nusu mlingoti kuashiria kuwepo kwa tukio la simanzi au msiba kwa
taifa hilo.
Upepeaji huo
wa bendera nusu mlingoti ni matokeo ya utekelezaji wa agizo la Rais wa Tanzania
Jakaya Kikwete alilotoa usiku wa kuamkia leo muda mfupi baada ya rais wa Africa
kusini Jacob ZUma kutangazia ulimwengu kuwa baba wa Taifa la Africa kusini na
afrika Nelson Madiba Mandela amefariki dunia
Pembe zote
za Tanzania zimeshikwa na simanzi kubwa kufuatia kifo cha Baba wa Taifa rafiki
kwa Tanzania, watanzania wamekuwa na maoni tofauti kuhusu kifo hicho huku
wengine wakidiriki kutaja kuwa nuru ya afrika sasa imegeuka giza nene kutokana
na kifo cha Nelson Mandela
Kutoka hapa
Tanzania eneo la mkoa wa Kigoma nimekutana na baadhi ya waombolezaji ambao
hwasiti kutoa hisia zao
“Mandela ni
mtu muhimu kwa bara la afrika, amekuwa kiongozi mwadilifu na mwaminifu kwa nchi
yake na kwa afrika nzima” Lucas Yona mkazi wa Kasulu
Huyo ni
mmoja wa wanaume ambao wanakiri kuwa baba wa taifa lla afrika ambalo hadi
anaondoka angependa kuwepo na umoja wenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi
Wanawake nao
hawako nyuma katika kuenzi mchango wa Mandela katika ustawi wa afrika, huyu
hapa ni mwanamke mwanaharakati na kiongozi wa umoja wa wanawake katika eneo la
wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma
Grace
Mbwiriza ni katibu wa Umoja wa wanawake Tanzania wilayani Kasulu, anamuona
Mandela kama kioo cha afrika ambacho kilitumika kujenga hoja ya uafrika na
uzalengo kwa waafrika
Chama cha
mapinduzi sit u kimeshusha bendera yake nusu mlingoti bali pia viongozi wake
ngazi ya taifa wanajipanga kushiriki katika shughuli za kumuenzi Mandela pamoja
na kushiriki mazishi yake
Aidha viongozi
hao wa chama ambacho kilishirikiana na chama cha ukombozi wa weusi wa afrika
kusini ANC kuhakikisha makabulu wanaacha ubaguzi, hapa katibu wa CCM wiiaya ya
Kasulu anaeleza hisia zake kuhusu kifo cha Mandela
“Mandela
licha ya kuwa mpigania haki alikuwa mwenye upendo na huruma kiasi cha
kuwahurumia adui zake na adui wa waafrika yaani makaburu ambao waliwanyonya na
kuwanyanyasa waafrika”
Kitendo cha
Mandela kuwasamehe bila kuwachukulia hatua za kisheria waliomweka gerezani kwa
zaidi ya miaka 20 tena kwa uonevu pamoja na vitendo vya ubaguzi wa rangi,
kulimkweza sana Mandela na kudhihirika kweli kama mkombozi wa kweli
Je Chama cha
mapinduzi kinasemaje kuhusu msimamo huo wa Mandela? Bw. Minja katibu wa CCM
anatanabahisa kuhusu msimamo huo wa hayati Mandela
Kwa niaba ya
waandishi wa habari na wawakilishi wa channel afrika katika eneo la maziwa
makuu pamoja na familia yangu tunatoa pole kwa wanafamilia ya marehemu Mandela
pamoja na taifa zima la afrika kusini kwa kuondokewa na mwasisi wa ukombozi wa
watu weuzi nchini afrika kusini, Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake
lihimidiwe
Kutoka Dar
es Salaam kwa hisani ya Facebook, Mwanahabari Erick David anaongeza
FEBRUARY 11,
1990 BAADA YA KUACHIWA KUTOKA GEREZANI MJINI CAPETOWN,BAADA YA AWALI KULETWA
HAPO KUTOKA ROBBEN ISLAND ALIKOKAA JEMA MIAKA 18 KATI YA 27 ALIYOKAA
GEREZANI.MOJA YA PICHA ZA MWANZO KABISA,SIKU HII ALILALA KWA MSHIKAJI WAKE
BISHOP DESMOND TUTU, KWA SIKU 2 KISHA AKAENDA KWAKE SOWETO ORLANDO WEST MTAA WA
VILAKAZI, AMBAO NDIO MTAA PEKEE DUNIANI HADI SASA WALIKOISHI WASHINDI WAWILI WA
NISHANI YA NOBEL,NAO NELSON MANDELA NA DESMOND TUTU.
Labels:
News
11:23
DAFTARI LA WAPIGA KURA KUREKEBISHWA KUELEKEA KATIBA MPYA
Written By Unknown on Alhamisi, 5 Desemba 2013 | 11:23
Waziri mkuu Mizengo Pinda leo amelithibitishia Bunge kuwa Tanzania
itafanya maboresho ya daftari la wapiga kura
Amesema hayo Bungeni mjini Dodoma wakati mjadala wa mswada wa
marekebisho wa sheria ya mabadiliko ya katiba mpya ukielekea ukingoni
Miongoni mwa mambo ambayo yanaibuka ni suala la upigaji wa
kura za maoni ambapo tume za uchaguzi Tanzania na Zanziba zitaratibu upigaji
kura huo
Labels:
siasa
11:03
CLOUDS FM LIVE NDANI YA KWIGIZE NEWS DOT COM
Katika
kuboresha mtandao wetu wa Kwigize News and Communication Network, tumefanya
maboresho makubwa ikiwa ni pamoja na kukuwekea ukurasa wa maoni
Aidha tumeungana
na Clouds Media kwa kukuwekea matangazo ya moja kwa moja ya Clouds FM katika
mtandao huu wa kijamii (blog)
Matangazo ya
clouds fm sasa yanasikika moja kwa moja kupitia katika blog ya kwigizenews,com
live bila chenga, fungua angalia mkono wa kulia fungua kitufe kisa
sikiliza clouds fm kwa raha zako.
Tumeboresha bia
kwa kukuwekea ukurasa wa kujiunga ilii uweze kupata habari kupitia katika
ukurasa wa barua pepe yako yaani e-mail
Tunakushukuru
sana kwa kututembelea na tunakualika kuleta maoni zaidi ili tuweze kuboresha
zaidi