HABARI MPYA
blink
09:42
NWTHERLANDS OFFERED SCHOLERSHIP TO 4000 TANZANIANS
Written By Unknown on Jumanne, 3 Septemba 2013 | 09:42
Picture above: Madam Renet with pause during the sendoff function at the Netherlands ambassador house in Dar es Salaam Tanzania
Written
By: NFP
Beneficiary
More than
one hundred and thirty students from Tanzania with different ambitions has got
a scholarships from the Kingdom of the Netherlands for different courses
offered by the Netherlands institution for the year of 2013/2014
This data
was raised by the embassy of The Kingdom of The Netherlands in Dar es Salaam by
the head of development cooperation madam Renet Van der Waals during the fair
well party organized by the embassy for those who selected to study in the
Holland
Madam Renet
said that the Netherlands Fellowship Program have received more than five
hundred application for scholarships but due to availability of the funds is
only 130 selected and awarded the chance to study in Netherlands institutions
She added
that the selected persons are those who their daily activities are dealing with
community development directly like planning officers, journalists, livestock
and agriculture officers
During the
send off of selected candidates the guest of honor who was Dr. George Yambes
the Permanent secretary in president office dealing with Public service said in
his remarks that, Tanzania has got lot of benefit from The Kingdom of the
Netherlands government especially in community development at large
He added
that the kingdom of the Netherlands have been supporting Tanzania by granting
scholarship to more than four thousand scholars in different professions
Mr. Yambes
said that, the Government of United republic of Tanzania and the government of
the Netherlands have been collaborating partners for several decade, whereby
lot of development projects were supported by the Dutch institutions by
empowering Tanzanians efforts
He insisted
that by Netherlands Fellowship Programs funded by The Netherlands Ministry of
Foreign Affairs has been making effective contribution to Tanzanians those who
want to enhance their knowledge and professionalism, and the skills taken is
very useful for Tanzania development
Madam Anna Neri stands right with one on NFP Beneficiaries Mr. Prosper Kwigize (journalist) during the fair well party in Dar es salaam last week
According to
the Netherlands Fellowship Program office madam Anna Neri, the 2013/2014
selected candidate for scholarship are from different Tanzania Regions like
Kigoma, Mbeya, Kagera, Zanzibar, Iringa, Dar es Salaam and Mwanza
EndS
09:18
MWANAMKE SHUJAA ALIYEPAMBANA KIVITA NA WAKOLONI WA UTAWALA WA KIJERUMANI
Na Daud Nkuki – Singida
Mwanamke shujaa aliyewaongoza kabila la Wanyaturu katika mapambano dhidi ya utawala wa kijerumani, si mwingine ila ni Leti Kidanka, katika vita vikuu vya pili vya dunia mwaka 1938 hadi 1945.
Kwa mujibu wa familia iliyopo, Leti alizaliwa katika kijiji cha Unyang’ombe – Sekotoure Ilongero. Aliolewa na Nyalandu Mtinangi wa Ukoo wa Lundi (antuamwa Lundi). Katika kijiji cha Matumbo Kitongoji Mikuyu, Kata ya Makuro wilayani Singida vijijini.
Wazazi wake walikuwa waganga wa tiba asilia Kidanka Jilu Msasu na Sita Mughenyi, Leti naye alirithi uganga huo toka kwa wazazi wake.
Ushujaa wake ulijitokeza zaidi katika ukoo mdogo wa Lundi alikoolewa. Wakati alipowatumia nyuki kama silaha ya kudhoofisha nguvu za maadui wake na kuwasambaratisha walipojaribu kumkaribia.
Maadui wake wakuu, walikuwa ni wakoloni wa Kijerumani wakishirikiana na vibaraka wao wa ukoo wa Unyanjoka ukiongozwa na Igwe Yunga kumkabili mwanamke huyo.
Mapambano hayo yalichukua miaka mitatu 1908 hadi 1910. Kibaraka Igwe alitafuta nguvu za ziada za kukabiliana na Leti alipolileta jeshi la kijerumani kutoka kilimatinde wilayani Manyoni, baada ya wao kushindwa.
Katika pambano hilo la mara ya pili kati ya wajerumani Wanyanjoka na kikosi cha Leti. Wakati askari wa kijerumani aliyejulikana kwa jina moja la “SAUSI” aliuwawa kwa kuchomwa mkuki na mume wa shujaa huyo Nyalandu Mtinangi mwaka 1909.
Leti alipambana na maadui hao mara mbili na kuwashinda. Safari ya tatu mnamo mwaka 1910 hakuweza kufanikiwa kuwashinda, badala yake aliuwawa nyumbani kwake pamoja na mume wake katika kijiji cha Matumbo Kitongoji cha Mikuyu Singida vijijini.
Umaarufu wa Leti ulitokana na ujasiri aliokuwa nao akiwa ni mwanamke, kwa kuwatumia nyuki kama silaha yake ya kuwashambulia maadui huku akisaidiwa na wafuasi wake ambao walikuwa ni mume wake Nyalandu na shemeji yake Hango Linja, wakitumia Mikuki na mishale.
Mwanamke huyo aliongoza mapambano yeye mwenyewe kwa kutoa amri kwa washirika wake kushambulia au kusitisha mapigano katika eneo la vita.
Aidha alijihami kwa kutumia (sumanda) handaki kujificha wasionekane kwa maadui. Hivyo ni baadhi ya vitu vilivyo mjengea umaarufu wa kujulikana katika historia ya mapambano dhidi ya wajerumani.
Kuanguka kwake ni pale dawa zake zilipokosa nguvu, hatimaye kuuwawa, baada ya kusababishwa na mwenzake waliokuwa shirika moja, Sie Ndida mke wa shemeji yake Hango Linja, walioishi eneo moja kujenga urafiki na Igwe Yunga uliomfanya atoe siri ya ushujaa wao.
Sie alirudi kwa siri kwenye eneo la zindiko, bila mwenzake kujua alihamisha dawa zote upande wake. Mwenzake Leti alipojaribu kutumia dawa zake alipowaona adui zake wanakaribia zilishindwa kufanya kazi. Matokeo yake alikutwa nyumbani akijikalia na kupigwa risasi wakiwa na mume wake na kufariki pale pale. Miili yao ilizikwa baada ya siku tatu, watu wakihofia kurudi tena adui zao.
Hapo ukawa mwisho wa mapambano, hawakuendelea kwenda kwa Sie kwa kuwa aliwaonyesha siri ya ushujaa wao. Ukweli huo unadhihirishwa na wimbo wa kinyaturi usemao, “Sie Sie na Leti, asunguatufu, vikhoma Nkingi Vasuka vikuranga …”(maana yake walikuwa wakiimba Sie, Sie na Leti wanawake watupu mamezipiga mambo na kuzingoa mwenyewe).
Leti alikuwa na watoto wanne, wawili wa kiume na wengine wa kike. Kati ya yao watatu moja wa kiume aliitwa Sang’ida, wasichana ni Nyamughenyi na Sita walikamatwa na kuchukuliwa na wajerumani kupelekwa Dar es salaam, baada ya wazazi wao kuuwawa. Licha ya kuwachukua watoto hao pia walichukua kichwa cha mama yao hadi Ujerumani.
Mtoto mwingine aliyeitwa Kidanka, katika purukushani hizo, aliweza kuwatoroka akiwa na jeraha la risasi ubavuni mwake. Kwa kuwa walikuwa na asili ya uganga, naye alipona na kuendelea na shughuli hiyo mpaka alipofariki mwaka 1980 kijijini hapo.
Mpaka sasa koo hizi mbili Lundi na Unyang’ombe hushirikiana kutambika mara kwa mara, katika eneo husika yalipo makaburi ya watu hao, kwa nia ya kunusuru majanga yanayoweza kutokea.
Familia, jamii inaungana na wazee mkoani Singida, katika risala yao kwa Mkuu wa Mkoa mwaka jana, walipokuwa wakiadhimisha siku ya wazee duniani kuiomba serikali ilipe kupaumbele swala la kurejesha nchini fuvu la kichwa cha shujaa huyu, kama ilivyofanya kwa chifu Mkwawa.
Mwisho.
Labels:
News
10:59
FREEDOM OF PRESS IN TANZANIA AND PEACE IN DENGER ZONE
Written By Unknown on Jumanne, 9 Julai 2013 | 10:59
Tanzania is blessed country due to so many aspect compare to
many African countries as well as western, Asia and American countries,
journalists is one of professional group who being used to announce this story
over the world, but their now hunted innocently
Sometimes Tanzania it’s called Peace Island in the world, this name came because of Tanzanian life style, hospitality, political and security situation, natural wealth especially forest, hills, mountain, minerals water and land
In few days ago Tanzania has observed lot of criminal events that shows that our good image is going to be changed from Peace Island to country of conflict
I believe that everyone know what is happen in Iringa last year, whereby one Journalist late Mwangosi were killed when he was in his duty of making Political coverage, we know what was happen too Mr. Kibanda the Editors Forum Chairman
Either we know also what happened In Mtwara, whereby journalist were hunted by civilians who managed also to burnt journalist houses , this is aspect show that now Tanzania has forgetern where we come from, where we are and where we want to go
Let us see in picture what Media Council of Tanzania decided was, to prevent ournalists at Job, in above Picture is Journalist at work, while below are one of Mtwara journalist granted a jacket which will be used by them to address the Mtwara community to understand that journalist is friend to them and ignore the perceptions of treating them as enemy
Either below are picture show the Media council of Tanzania inauguration the book of journalism curriculum, this book will be used by media institution and journalism schools to teach journalist
Labels:
News,
News in picture
09:49
GAIRO KITUO KIKUU CHA MABASI KANDA YA KATI, ZIWA NA MAGHARIBI
Baadhi ya mabasi yakiwa katika kituo cha Gairo nje kidogo ya mji wa Gairo kwa ajili ya mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na safari ndefu kuelekea kanda ya kati, magharibi, kanda ya ziwa na nje ya nchi. Picha na. Prosper Kwigize
Kwa msafiri yeyote aliyewahi kusafiri kutoka Kigoma, Mara, Mwanza, Kagera na hata nchi jirani hataacha kamwe kuifahamu GAIRO,
Gairo ni wilaya Mpya katika mkoa wa Morogoro, wilaya ambayo inazungukwa na wakulima wa mazao mbalimbali ikiwemo vitunguu, nyanya. alizeti na miwa
Katika ukurasa huu, ninakusudia kuzungumza au kukushirikisha kuhusu kituo cha basi na hoteli ya Gairo ambapo maelfu ya wasafiri hupita na kupata ama chai, chakula cha mchana na usiku
Ukifika Gairo hutashangaa kuona purukushani za wasafiri kusaka mlo, na wengine kutafuta mahala pa kusitili miili yao kwa huduma za vyoo.
Hakika Gairo ni kituo kikubwa ambacho kila mtu awapo njiani safarini kwenda Mbeya, morogoro, Dar es Salaam, Mtwara na hata Zanzibar, hulazimika kupumzika hapo kwa dakika chache ili kudhibiti njaa
"Jamani abiria wetu, Hapa ni GAIRO, tutapumzika kwa dakika kumi tu kwa ajilii ya chakula na kuchimba dawa" Ni kauli ya kondakta ambaye mara tuu gari linaposimama yeye hutangulia kwa kazi moja tu kupata chakula, kuchimba dawa na wakati mwingine kutafuta abiria wapya.
Kinachonisukuma kuzungumzia kituo hiki muhimu kwa wasafiri wa ndani na nje ya Tanzania si uzuri wa madhari, majengo mazuri ya kitalii, huduma ya uhakika ya maji na chakula bali pia ni idadi kubwa ya mabasi na wasafiri ambao hupita na kujikimu
pamoja na hayo ninashawishika kuhoji, je halmashauri ya GAIRO kwaoo hichi ni chanzo cha mapato? kama ndiyo ni nani anawajibika kukusanya ushuru wa biashara zinazofanyika hapo pamoja na ushuru wa maegesho kwa magari yanayosimama na kupata huduma hapo, au ni kazi ya mmliki wa hoteli hiyo nzuri?
lakini pia tujiulize vyakula vinavyouzwa hapoo vina ubora uliohakikiwa na wataalamu wa idara ya afya ili kumhakikishia mlaji usalama wake?
Nasema hivyo kwa sababu, baadhi ya abiria siku hizi wakifika Gairoo wanashuka na kuchimba dawa tu (haja ndogo) na hawajishughulishi hata kidogo na kugombania masahani katika hotel hiyo, ukiuliza je! wao hawana njaa? majibu mepesi watakujibu "Usalama wa vyakula vya hapa ni mdogo sana, na isitoshe vikilala wanachanganya na vipya, ilimradi tu wasipate hasara"
Je Kauli hii anaifahamu mmliki wa Hteli hiyo muhimu kwetu wasafiri kutoka nje ya pwani? kama hajui basi mtandao huu wa www.kwigizenews.com, unamuasa kuchunguza usalama na uadilifu wa wauza vyakula ambao sina shaka wengi wao ni wapangaji
Hongera, kwa kuwajari wasafiri.
Kwa msafiri yeyote aliyewahi kusafiri kutoka Kigoma, Mara, Mwanza, Kagera na hata nchi jirani hataacha kamwe kuifahamu GAIRO,
Gairo ni wilaya Mpya katika mkoa wa Morogoro, wilaya ambayo inazungukwa na wakulima wa mazao mbalimbali ikiwemo vitunguu, nyanya. alizeti na miwa
Katika ukurasa huu, ninakusudia kuzungumza au kukushirikisha kuhusu kituo cha basi na hoteli ya Gairo ambapo maelfu ya wasafiri hupita na kupata ama chai, chakula cha mchana na usiku
Ukifika Gairo hutashangaa kuona purukushani za wasafiri kusaka mlo, na wengine kutafuta mahala pa kusitili miili yao kwa huduma za vyoo.
Hakika Gairo ni kituo kikubwa ambacho kila mtu awapo njiani safarini kwenda Mbeya, morogoro, Dar es Salaam, Mtwara na hata Zanzibar, hulazimika kupumzika hapo kwa dakika chache ili kudhibiti njaa
"Jamani abiria wetu, Hapa ni GAIRO, tutapumzika kwa dakika kumi tu kwa ajilii ya chakula na kuchimba dawa" Ni kauli ya kondakta ambaye mara tuu gari linaposimama yeye hutangulia kwa kazi moja tu kupata chakula, kuchimba dawa na wakati mwingine kutafuta abiria wapya.
Kinachonisukuma kuzungumzia kituo hiki muhimu kwa wasafiri wa ndani na nje ya Tanzania si uzuri wa madhari, majengo mazuri ya kitalii, huduma ya uhakika ya maji na chakula bali pia ni idadi kubwa ya mabasi na wasafiri ambao hupita na kujikimu
pamoja na hayo ninashawishika kuhoji, je halmashauri ya GAIRO kwaoo hichi ni chanzo cha mapato? kama ndiyo ni nani anawajibika kukusanya ushuru wa biashara zinazofanyika hapo pamoja na ushuru wa maegesho kwa magari yanayosimama na kupata huduma hapo, au ni kazi ya mmliki wa hoteli hiyo nzuri?
lakini pia tujiulize vyakula vinavyouzwa hapoo vina ubora uliohakikiwa na wataalamu wa idara ya afya ili kumhakikishia mlaji usalama wake?
Nasema hivyo kwa sababu, baadhi ya abiria siku hizi wakifika Gairoo wanashuka na kuchimba dawa tu (haja ndogo) na hawajishughulishi hata kidogo na kugombania masahani katika hotel hiyo, ukiuliza je! wao hawana njaa? majibu mepesi watakujibu "Usalama wa vyakula vya hapa ni mdogo sana, na isitoshe vikilala wanachanganya na vipya, ilimradi tu wasipate hasara"
Je Kauli hii anaifahamu mmliki wa Hteli hiyo muhimu kwetu wasafiri kutoka nje ya pwani? kama hajui basi mtandao huu wa www.kwigizenews.com, unamuasa kuchunguza usalama na uadilifu wa wauza vyakula ambao sina shaka wengi wao ni wapangaji
Hongera, kwa kuwajari wasafiri.
Labels:
Events,
News in picture
08:31
VYANDARUA VYAGEUZWA KUWA VIFUNGASHIO
Wakati serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wahisani
wakipambana na tatizo la maralia nchin, baadhi ya wakazi wa manspaa ya Singida
wanatumia vyandarua kama vifungashio vya machupa chakavu ya plastiki
Uchunguzi uliofanywa na standard radio katika vitongoji vya
mji manspaa ya Singida, umebaini kuwapo kwa shehena kubwa ya machupa na vifaa
vingine vya plastiki vilivyofungashwa ndani ya vyangarua katika eneo la msalaba
mrefu mjini Singida
Wakazi wa eneo hilo lililoko jirani na kanisa la kiinjili la
kiruteli Tanzania KKKT licha ya kushuhudia kero hiyo ya matumizi kinyume ya
vyandarua, hawakuwa tayari kumtaja mhusika wa biashara hiyo
Serikali ya Tanzania kwa msaada wa serikali ya marekani
imekuwa ikisambaza vyandarua kwa kila nyumba nchini ili kuhakikisha watanzania
hususani wanawake wajawazito na watoto wanaepuka ugonjwa wa maralia
Mwezi Novemba mwaka 2012 waziri mkuu wa Tanzania Mizengo
Pinda alizindua kampeni maalum ya kudhibiti maralia
Inakadiriwa
takribani watu milioni 10 hadi milioni 12 wanaugua malaria kila mwaka, na
malaria husababisha vifo vya watu kati ya 100,000 hadi 300,000 kila
mwaka. Aidha zaidi ya asilimia 40 ya wagonjwa wanaohudhuria katika vituo vya
kutolea huduma za afya wanasumbuliwa na ugonjwa wa malaria.
Labels:
Development stories,
News